Tuesday 21 August 2012

DUUUH!!!! HOPE HII VIDEO ITAKUWA SUPER,KEEP IT UP POZ KWA POZ HABARI KAMILI NA MILLARDAYO.COM

.

Nguo alizovaa alipatiwa na ki. ya Jokate.

.
.
.
.
Hii ndio gari iliyotumika kwenye video ambayo Ommy Dimpoz anasema hajawahi kuiona bongo.
.
Model Tully ambae amehusika kwenye video kadhaa za mastaa wa South Africa pamoja na matangazo mbalimbali ya biashara.
.
.
.
Watu wa kumfanyia make up Ommy Dimpoz walikuwa wawili
.
.
.
Model Tully akiwa na meneja wa Ommy, anaitwa Mubenga.
Huyu ni Luclay mwakilishi wa South Africa kwenye BBA 2011 na hapa aliomba kumpiga picha Ommy Dimpoz ili akamuonyeshe mpenzi wake kwamba amekutana na staa kutoka Tanzania.
Ommy Dimpoz baada ya kwenda shopping alikutana na warembo wa Kikenya ambao kumbe ni mashabiki zake wakaomba kupiga picha, huyu ni wa kwanza.
Na huyu ni wa pili.
Picha zinazofata hapo chini ni kutoka kwenye video fupi ambayo ilitangulizwa kama teaser ya video kamili ya single ya ‘baadae’ ya Ommy Dimpoz.
.
.
Ukiangalia vizuri, anaepungiwa kwa mbali ni Ommy Dimpoz.

Friday 3 August 2012

KATIKA ZUNGUKA ZUNGUKA NIKAKUTA PICHA YA mTOTO WA aLLY KIBA,HE IS CUTE,SIJUI ATA AITWA NANI JUST LOVED THE PIC,wANAFANANAJEEE

KUNA WATU WANA ROHO ZA KIKATILI,EMBU SOMA STORY YA MTOTO HUYU,DEAR GOD HAVE MERCY

 
Mtoto huyu anaitwa Joshua ana afya,nguvu na furaha kila wakati.Akiwa anatambaa mama yake alimtupa huko Mbezi beach na yeye kuokotwa na mama msamaria mwema.Mama msamaria mwema akiwa anaamka alfajiri akasikia mtoto analia sana nje ya nyumba yake.Kwanza aliogopa sana lakini baada ya kusikiliza kwa makini akajua ni mtoto kweli.Akatoka nje na kumkuta mtoto kajaa tope anabiringita chini peke yake akitambaa kang'atwa na mbu mpaka basi.
 
Akamchukua na kuaanza kuita majirani kuulizana mtoto wa nani?wakaenda mpaka kwa mjumbe,polisi,mpaka siku inaisha mama wa mtoto hakujitokeza.Basi mama huyo akasema yeye atamchukua mtoto na kumlea kama wa kwake kabisa.Na siku hiyo hiyo akampa jina la JOSHUA.Hivi sasa amekuwa mkubwa kwa kumkadiria ana mwaka na miezi kadhaaa.Anamuita mama msamaria mwema 'mama' akijua huyu ni mama yake.
Mama aliyemuokota ana watoto watatu wakubwa kabisa na Joshua ni kama kitinda mimba wake.Anampenda sana huyu mtoto na anamlea kwa mapenzi yote ya mama kwa mtoto.Anasema amehifadhi zile nguo alizomuokota nazo ili akija kuwa mkubwa amwambie ukweli na kumuonyesha zile nguo.Anajua itakuwa ngumu kumueleza ukweli hapo baadae ila itabidi tu amwambie ili ajue.

Nimejaribu kutafakari amekuwa mkubwa halafu mama aliyemlea na yeye kujua ni mama yake mzazi ana mwambia kuwa alimuokota.Atajisikiaje?itamuumaje?
Hii story nimeitoa kwa Dinamarios.blogspot.com  kama ilivo,So touching Mungu Amzidishie mama alie okota Mtoto huyu.

Wednesday 20 June 2012

WAKATI UTAFIKA,TUACHE MENGINE YAPITE,WEMA KAFUNGUKA KAMA ILIVORIPOTIWA NA BLOG YA BONGO5,USUPERSTAR KAZI JAMANI..DUH

Baada ya jana na juzi habari za Wema Sepetu kudanganya umiliki wa nyumba yake kusambaa kwa kasi kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii, mrembo huyo ameibuka na kusema ‘inatosha.’
Inadaiwa kuwa nyumba ya muigizaji huyo aliyodai kuwa ameijenga kwa fedha yake mwenyewe na kutumia karibu milioni 400 mpaka inakamilika sio ya kwake kama alivyosema.
Jana kupitia mtandao wa Twitter aliandika, “ Kila mtu atasema lake, there time tuache mengine yapite.”
Katika hatua nyingine jana mama yake mzazi amesema amechoka na habari zinazozushwa dhidi ya mwanae kwenye magazeti ya udaku na ameapa kumpeleka mtu mahakamani kwa kuharibu jina la Wema.
Amesema kuwa alichokigundua ni kuwa binti yake hana rafiki wa kweli.

Akiongea na kipindi cha Take One cha Clouds jana usiku, mama huyo amesema kuna watu wamemfanya afanye mambo ambayo hakutegemea kama angeyafanya katika maisha yake.
Mambo hayo ni pamoja na kumpeleka Wema kwa waganga ili atengenezwe na sasa mwanae yuko fit japokuwa anasema alihangaika sana.
“Mama Wema kafunguka kama geti la milango miwili, kavunja hadi fensi hakuna siri tena,hadi kwa waganga duuu!” alitweet mmoja wa watu waliokuwa wakiangalia kipindi hicho.
“Mama yako kakutetea vizuri sanaa @wema_sepetu, usimvue nguo tena, achana na marafiki wa mjini, concentrate na mambo yako! Mfanye mama yako ndo msiri wako, hakuna urafiki kwenye maisha ya sasa!” aliandika mwingine.

Katika hatua nyingine mtangazaji wa kipindi hicho, Zamaradi Mketema amejikuta lawamani kutokana na kashfa hiyo ya Wema kudanganya kwenye kipindi chake.
“Mimi mwandishi, unapokwenda kufanya interview na mtu ninachotakiwa kusikiliza ni kile ninachoambiwa na mtoa habari lakini sio ninachokijua au kusikia kwa watu, nilimuuliza hii nyumba ni yako? akajibu kweli yeye ndio mmiliki sasa siwezi kubisha, magazeti yanakosea kusema mimi naipotosha jamii ya watanzania… sijaipotosha na kama kweli ile sio nyumba yake mimi sitakiwi kulaumiwa,” alikiambia kipindi cha Amplifaya cha Clouds Fm.
“Kwenye show ya Take One ndani ya wiki mbili zijazo Wema amekubali kwamba atautoa uthibitisho kuonyesha kwamba ni mmiliki halali wa hiyo nyumba japo siwezi kuutaja ni uthibitisho gani,” aliongeza

DADA ZETU WA BONGO MOVIES,JUZI JUZI ILISEMEKAMANA JACKIE WOLPER(KWA SASA ANAITWA ILHAM) AMENYANG'ANYWA GARI,AKAONA ISIWE KESI,SHOW OFF.....

Tembelea prettysintah.blogspot.com upate habareee kamili,nawasalishaaaaaaa

mimi JWM hii gari ni yangu
akifungua buti
X 6
 
hii ndo no ya halali ya gari la JackieWolper
File zima la documents
chumba cha mamie Jackie Massawe
kadi ya gari ya halali ya JWM
just zoom


this file has all the documents

 
KaSema Gari ni yake,hakuna ukweli kuhusu tuhuma zilizotelewa kwa mujibu wa reporter amabe ni shost ake ,Sintah,
 
Sa chumbani sijui kunahusika nini,mehoji tu jamani..............?
 

KAMA ULIMISI PICHA ZA MKOKO ANAOSUKUMA DIAMOND PLATNUMZ HIZI HAPA





 

  
  

 

HUYU MGANGA NOUMEEER

Monday 18 June 2012

WEMA SEPETU,GREAT SUCCESS AT A SHORT PERIOD OF TIME,WHO KNOWS?ETI KUMBE NYUMBA NA VITU VINAMILIKIWA NA FAMILIA YA NGOMA,DUUUH!!!!








CHANZO kisicho rasmi kinasema kuwa hiyo nyumba imekodiwa tu kwa ajili ya kufanya film ya the superstar ya wema, lakini si mali ya wema ilikuwa ni Promo tu,niliposikia hii habari was like daaaaaaaaaaamn,she got the confidence to create and manage life drama,anajaribu kufanya maigizo kwenye reality life,how could she dare?
duuuuuh,mi nimesikia tu jamani,