
Picha ambayo Chriss brown allipost katika akaunt yake ya tweeter baada ya kurelease wimbo wake mpya wa kumdiss Rihanna.
Baada
ya kupost Picha yake Hiyo hapo juu Chriss Brown aliyaandika maneno haya katika post
yake ya tweeter"Assumptions! I didn't say any names so if u took
offense
[sic] to it then its something you feel guilty about.'
Moja ya mstari ambao Chriss karap katika wimbo huo una maneno haya;-
'Don't f***
with my old b*****s ... like a bad fur ... every industry n***** done
had
her,' continuing: 'Trick or treat like a pumpkin ... just to smash her.'

Wiki
hii mwimbaji alijikuta hospitali akitundikwa na drip kwa ajili ya 'uchovu na
upungufu wa maji mwilini' kama
watu wake wa karibu wanavodai,katika miez ya ivi karibuni Rihanna amekuwa moto wa mshumaa katika ncha mbili kwamba mwendo wa party za kila siku na kunywa pombe na kuvuta bange kupindukia na ameshauriwa na rafiki zake wa karibu kumona Doctor kwa ajili ya rehab.


Chriss brown baada ya kudilitiwa na yeye akamdelete rihanna na kupost tweets unazoziona hapo juu leo asubuhi na kisha kupost huo wimbo wa remix wa Kanye west uliofanywa na Chriss brown mwenyewe na kusemekana kama kamdiss mwandada Rihanna ktk wimbo huo.
No comments:
Post a Comment