Tuesday 21 August 2012

DUUUH!!!! HOPE HII VIDEO ITAKUWA SUPER,KEEP IT UP POZ KWA POZ HABARI KAMILI NA MILLARDAYO.COM

.

Nguo alizovaa alipatiwa na ki. ya Jokate.

.
.
.
.
Hii ndio gari iliyotumika kwenye video ambayo Ommy Dimpoz anasema hajawahi kuiona bongo.
.
Model Tully ambae amehusika kwenye video kadhaa za mastaa wa South Africa pamoja na matangazo mbalimbali ya biashara.
.
.
.
Watu wa kumfanyia make up Ommy Dimpoz walikuwa wawili
.
.
.
Model Tully akiwa na meneja wa Ommy, anaitwa Mubenga.
Huyu ni Luclay mwakilishi wa South Africa kwenye BBA 2011 na hapa aliomba kumpiga picha Ommy Dimpoz ili akamuonyeshe mpenzi wake kwamba amekutana na staa kutoka Tanzania.
Ommy Dimpoz baada ya kwenda shopping alikutana na warembo wa Kikenya ambao kumbe ni mashabiki zake wakaomba kupiga picha, huyu ni wa kwanza.
Na huyu ni wa pili.
Picha zinazofata hapo chini ni kutoka kwenye video fupi ambayo ilitangulizwa kama teaser ya video kamili ya single ya ‘baadae’ ya Ommy Dimpoz.
.
.
Ukiangalia vizuri, anaepungiwa kwa mbali ni Ommy Dimpoz.

No comments:

Post a Comment