Monday 28 May 2012

DEAR GOD,HAVE MERCY ON NAIROBI CITY,KWELI AMANI NDO KITU CHA MUHIMU DUH!!!

Mlipuko wa bomu kutokea Tena Mjini Nai leo,ambapo inasemekana ni mwendelezo wa kikundi cha Al shabab cha Somalia,Inasemekana watu thelathini(30) ni majeruhi, kwa mujibu wa millardayo.com..
































Jengo la pili kutoka kulia ndilo lililolipuliwa leo Moi Avenue street,


























WANAOTESEKA HAWANA HATIA,MMMH....kENYA G,SHOULD DO SOMETHING THEN

No comments:

Post a Comment