Thursday, 31 May 2012

HAYA NDO MAISHA YA LULU HUKO SEGEREA

MAISHA  ya msanii maarufu ya filamu nchini, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ambaye yupo katika Gereza la Segerea, yamebainika baada ya gazeti hili kunasa ukweli jinsi anavyoishi gerezani humo.
Lulu ambaye anadaiwa kuhusika na kifo cha aliyekuwa msanii maarufu wa filamu, Steven Kanumba ‘The Great’ kilichotokea Aprili 7, mwaka huu, imeelezwa kuwa maisha yake ya mahabusu yanasikitisha.
Vyanzo vyetu kutoka katika Gereza la Segerea vinasema msanii huyo licha ya kuwa analetewa chakula kutoka nyumbani kila siku, huwa anakula baada ya kubembelezwa na baadhi ya mahabusu wenzake.
“Lulu siyo yule mnayemfahamu uraiani, humu gerezani amekuwa mtu wa kusikia kile anachoambiwa na wenzake, amekuwa msikivu sana na hupenda kulala mara kwa mara,” kilisema chanzo hicho.
Habari zinasema msanii huyo amekuwa akifundishwa aya kwa aya za Biblia na amekuwa mwepesi kushika baadhi ya mistari ya kwenye kitabu hicho kitakatifu kwa Wakristo.
“Bila shaka amekuwa akishika aya kwa kuwa alizoea kushika maneno yaliyokuwa yanaandikwa katika script za michezo ya filamu,” alisema askari mmoja wa magereza aliyeomba jina lake kutoandikwa gazetini.
Alisema kinachosikitisha ni pale anapotembelewa na rafiki zake kwani wakiondoka Lulu hushinda akilia mchana kutwa.
Aliongeza kuwa hali anayoishi nayo msanii huyo gerezani ni ya kutia huzuni na simanzi na haonekani kuzoea mazingira kama walivyo mahabusu wengine.
Hivi karibuni, ilielezwa kuwa Lulu amekuwa akivaa rosari na kusoma Biblia mara kwa mara kutokana na mafunzo anayopewa na baadhi ya walokole waliofungwa katika gereza hilo.














Habari zaidi na Zeudaku............

Monday, 28 May 2012

TEEN SWEETHEARTS,BEIBER AND SELENA GOMEZ


































The twosome(madogo wanapendana mpk wanaboa a eeeh),bieber vip izo Supra na kofia chin lols,dollarly





















(Baby bieber vs Paparaziii,)I like his Supra,colour mix hakuna kumetch metch ovyooo,metokelezea sana,Swagger ziko On,














Justin na Tyson,Dogo anakula ma training

KEEPING UP WITH KANYE,HA HA HA!!!!KIM KARDASHIAN IS SEX AYSEEE!!!



























































































KANYE ANAFAIDIIII EEEEH...........

NEW HD VIDEO YA SHETA NA DIAMOND,NIDANGANYE DANGANYE


DIAMOND NI MOJA KATI YA WASANII AMBAO NAPENDA SANA KUSIKIZA ANACHOKIFANYA,THE SONG MAWAZO IS KILLING ME,TAZAMA PERFOMANCE YA DIAMOND IN BBA, PROUD OF YOU FOR THE BEST SHOW,TISHA SAAAAAAAANA
















wATCH OUT DIAMOND ON STAGE OF BBA,YAANI NI TEN OVER TEN

AM BLOODLY SIMBA SPORTS CLUB NUMBER ONE FUN,IVI NDO ILIVOKUWA KATIKA MAANDANO YA SHEREHE ZA UBINGWA KAMA ULIMISI PICHA


































(Picha na Issa Mnally /GPL)

DEAR GOD,HAVE MERCY ON NAIROBI CITY,KWELI AMANI NDO KITU CHA MUHIMU DUH!!!

Mlipuko wa bomu kutokea Tena Mjini Nai leo,ambapo inasemekana ni mwendelezo wa kikundi cha Al shabab cha Somalia,Inasemekana watu thelathini(30) ni majeruhi, kwa mujibu wa millardayo.com..
































Jengo la pili kutoka kulia ndilo lililolipuliwa leo Moi Avenue street,


























WANAOTESEKA HAWANA HATIA,MMMH....kENYA G,SHOULD DO SOMETHING THEN

Sunday, 27 May 2012

SERENA WILLIAMS ALIACHANA NA MAPENZI BAADA YA KUUMIZWA SANA


No more dates: Serena Williams says she has to remove herself from
 dating for a decade
No more date kwa miaka kumi sasa,
Heartbroken tennis star  Serena Williams ameachana na mapenzi kwa miaka kumi sasa baada ya kumpoteza mwanaume ambae yeye alihisi ndo wanacop kuish pamoja kama lovers,kwa mujibu wa daily mail Serena,mahusiano yake ya mwisho yalikuwa na Rapper anaejulikana kama common lakin aliamua kugive up baada ya kushindwa kuhimili vishindo vya kuumizwa.Na star huyo alifunguka zaid kwa kusema  commitment yake kwa sasa iko zaidi kwenye Tenis,na kwamba hataki tena mapenzi kwa kuwa amekuwa na bahati mbaya tu,ana extend another one decade bila mambo ya mapenz mapenz,ivo ndo anavoishi,"aliendelea kusema".

Comeback: Williams is favourite for the French Open, which starts 
on Sunday 
 
MAPENZI YANA RUN DUNIA,!!!!!!KILA MTU YANAMTENDA HAIJALISHI UNA HOLD STATUS GANI katika maisha joh!!!! Mi zamani nilikuwa nahisi mtu yeyote mwenye status kama Rais,waziri,mbunge,hawa Wasanii wakubwa hawatendwii kabisa kwenye mapenzi kumbeee? la hashaa!!!

HAYA SASA,WALE WA MAMBO YETU YALEEE!!!NEW MOVE IN TOWN TITLED AS MEN IN BLACK 3 !!MI HUKU SIMOO KABISA

Will Smith and Tommy Lee Jones' sequel Men in Black 3 debuted as the No. 1 movie over Memorial Day weekend with $55 million domestically from Friday to Sunday.

Sequel: Will Smith and Josh Brolin from a still from Men in Black 
3, which debuted as the No. 1 movie over Memorial Day weekend


They're back: Will Smith and Tommy Lee Jones from the sequel which
 took $55 million domestically from Friday to Sunday

Storyline: Men in Black 3 reunites Smith's Agent J and Jones' 
Agent K as they battle a new alien menace that travels four decades back
 in time to do away with the younger Agent K (Josh Brolin)


































Directed by Barry Sonnenfeld
Produced by Walter F. Parkes
Laurie MacDonald
Written by Etan Cohen
Based on The Men in Black by
Lowell Cunningham
Starring Will Smith
Tommy Lee Jones
Josh Brolin
Jemaine Clement
Michael Stuhlbarg
Emma Thompson
Music by Danny Elfman
Cinematography Bill Pope
Editing by Don Zimmerman
Studio Amblin Entertainment
Parkes + MacDonald
Imagenation Abu Dhabi
Hemisphere Media Capital
Distributed by Columbia Pictures
Release date(s)
  • May 23, 2012 (2012-05-23) (France)
[1]
  • May 25, 2012 (2012-05-25) (US and UK)
Running time 106 minutes[2]
Country United States
Language English
Budget $215 million[3]
Box office $187,000,000[4]
MTANISIMULIA EEEEEEH!!!!!!!!!!!!!

THE TWOSOME,(Justin Bieber and Selena Gomez)MADOGO WANAONEKA WAKO INLOVE SAAANA,EMBU WAONEEE!!!

Justin Bieber and Selena Gomez  wanadate kwa muda sasa,and wamekuwa huruuu for sure,yaaani hakuna tatizo for them making it in public,But hapa its like wako na aibu vibayaa,(look at them)
Picha hizi zilipigwa jana wakiwa wanatoka kwenye restaurant moja for lunch date huko mjini Calfonia. Baby singer  anaonekana anajifunika na kofia kabisa hataki watu or sijui mapaparazi wasimuone.
Playing coy: Justin Bieber led Selena Gomez by the hand as they 
left Benihana restaurant in Sherman Oaks, California yesterday looking 
grumpy
Hapa Justin Kamshika baby mkono,Twende baby wangu,will never leave you,let me hold your hand...

Keeping his head down: The pint-sized pop star tried to cover his 
face with his hat as the teen lovers made their way to the car
Twende kwenye gari faster baby wange,wakitukuta hapaaaa mapaprazi itakuwa sooo,

Puppy love: The couple recently reunited after spending a few 
weeks apart 
TEEN LOVERS HAOOO!!! 

Date afternoon: Justin Bieber held tightly to sweetheart Selena 
Gomez' hand as they headed to a movie theatre in Calabasas today
Baby singer yuko na sweetheart on the way to move Theatre,Calabasas leo,But wamependeza xaana,i like selena's gawn na sandals zake za picha za juu
Beautiful: Selena looked pretty and glamorous in this flimsy maxi 
dress
Beautiful: Selena looked pretty and glamorous in this flimsy maxi 
dress
Cute chic selena looking mwaaaaaaaaaaaaaaaaah.

FROM MY HEART I LIKE THESE TEEN TWO SWEETHEARTS
Kupendana raahaaaaaaaaaaaa...................