Friday 6 April 2012

FABRICE MUAMBA KUSHEREKEA BIRTHDAY YAKE YA 24 IJUMAA WIKI IJAYO AKIWA AMESHARUHUSIWA KUTOKA HOSPITAL ALIPOKUWA ADMITTED.GOOD NEWS KWA WAPENZI WA MPIRA

Fabrice Muamba anaweza karuhusiwa wiki ijayo kwenda nyumbani kutoka hospitali kwakuwa amepata ahuen kubwa  na afya yake inaendelea vizuri.

Kiungo huyu  wa
Bolton atasherehekea siku yake ya kuzaliwa ya  24 Ijumaa ,ni jambo la kumshukuru mungu kwakuwa atasherekea siku hiyo akiwa ana maendeleo mazuri  baada ya kupata ugonjwa wa heart attack katika half time ya kipindi cha kwanza timu yake yake ilipokuwa ikicheza na
Tottenham katika  kuwania kombe la FA  mwezi uliopita.

Muamba sasa ana uwezo wa kutembea kwenye chumba chake  na baadhi ya maeneo ya hospitali.


On the mend: Fabrice Muamba has been recovering in hospital since collapsing at White Hart Lane, where he was 'dead' for 78 minutes Fabrice Muamba amekuwa akiendelea vizuri sikuzinavozid kwenda baada ya kuanguka uwanjan na kusemekana alikufa kwa dakika  78
  
STAR huyo wa zamani wa  Arsenal and Birmingham anaonesha progress ya hali ya juu ,Na wiki iliyopita ilipostiwa picha yake katika tweeter akiwa amekaa katika kitanda chake na kuonesha smile.
Message: Bolton have stood firm behind their stricken team-mate 
 
Boss wa Bolton Owen Coyle baada ya kuhojiwa kuhusu hali ya mchezaji huyo alisema
 
"He is taking steps, talking and has that big smile which we love to see, so he is certainly progressing the right way"

Fabrice anapata sapot kubwa sana kutoka kwa uongozi wa klabu mpaka wachezaji wenzie ambao wamekuwa wakimtumia meseji za kumfariji kila siku.

************wink***************************

No comments:

Post a Comment