
3)
Isabel Jose Dos Santos wa Angola ana dola za kimarekani milioni 170, ni
mke wa milionea wa kikongo Sindika Dokolo, na pia ni mtoto wa rais Dos
santos, ana tanesco yake, benki mbili, kampuni za mafuta na biashara
nyingine.Alianza biashara akiwa na umri wa miaka 24 kwa shinikizo la baba yake.

5)
Mamphela Ramphele wa Afrika Kusini, ana umri wa miaka 65, yuko kwenye
biashara ya madini pia katika kampuni iliyotoa ajira za wafanyakazi elfu
45, mkwanja alionao ni dola za kimarekani milioni 90.

6)
Irene Charnley wa Afrika Kusini, ana umri wa miaka 52, alishawahi kuwa
director wa kampuni ya simu za mkononi ya MTN South Africa, lakini kabla
alishawahi kuwa director wa FirstRand Bank na Smile Telecoms.

7)
Pam Golding wa South Africa, ni mwanzilishi wa kampuni ya kuuza na
kupangisha majumba ya kifahari katika kisiwa cha Mauritas na afrika
kusini. Alianza biashara yake mwaka 1976, anamiliki dola za kimarekani
milioni 86.
8) Sharon Wapnik wa Afrika Kusini, ana dola za kimarekani milioni 43.1, biashara zake ni kuuza nyumba pia na kukodisha pia, ni mwanasheria, pia mwenyekiti na Director wa Premium Properties Limited.
No comments:
Post a Comment